Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali na kumpa pole Mzee` Yusuf Mzimba,
mmoja wa wazee marufu wa Klabu ya Dar es salaam Young Africans (YANGA) ambaye
amelezwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akiuguza majeraha
kufuatia kugongwa na BodaBoda wiki iliyopita Barabara ya Nyerere jijini
Dar es salaam. Mzee Mzimba
amevunjika mguu wa kushoto na kupata majeraha ya usoni na mikononi.
Hadi jana hali yake ilikuwa inaendelea vyema na Rais Kikwete amempa pole
nyingi kwa maumivu aliyoyapata na kumtakia apate nafuu ya haraka. PICHA NA IKULU
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment