Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali na kumpa pole Mzee` Yusuf Mzimba,
mmoja wa wazee marufu wa Klabu ya Dar es salaam Young Africans (YANGA) ambaye
amelezwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akiuguza majeraha
kufuatia kugongwa na BodaBoda wiki iliyopita Barabara ya Nyerere jijini
Dar es salaam. Mzee Mzimba
amevunjika mguu wa kushoto na kupata majeraha ya usoni na mikononi.
Hadi jana hali yake ilikuwa inaendelea vyema na Rais Kikwete amempa pole
nyingi kwa maumivu aliyoyapata na kumtakia apate nafuu ya haraka. PICHA NA IKULU
ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO NI URITHI WA DUNIA, TUENDELEE KULITUNZA; DKT.
MPANGO.
-
Mwandishi wa NCAA, Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor
Mpango amesema eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ambalo n...
1 day ago
No comments :
Post a Comment