Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 29, 2013

MATUKIO MUHIMU KUTOKA RUVUMA


 Baadhi ya waandishi wa Habari mkoani Ruvuma kulia wakimsikiliza mhandisi wa maji taka na mazingira wa mamlaka ya maji safi na taka manispaa ya Songea9SOUWASA) Eddie Emanuel  jana wakati walipotembelea mabwawa ya maji taka katika eneo la Londoni mjini Songea.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga wakimsikiliza mwenyekiti wa halmashauri hiyo Oddo Mwisho(hayupo pichani0wakati wa kikao chao hivi karibuni mjini Mbinga.

No comments :

Post a Comment