Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 7, 2013

KITUO CHA FEDHA CHA BENKI KUU CHAFUNGULIWA PEMBA.



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi kituo cha kutunzia na kusambazia fedha cha Benki Kuu ya Tanzania katika jengo la Benki ya Watu wa Zanzibar Chake chake Pemba.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,  sambamba na Viongozi wa Taasisi za Fedha akiwapungia mkono Wananchi wa Chake chake (hawako pichani) mara baada ya kufungua kituo cha kutunzia na kusambazia fedha cha BOT katika jengo la Benki ya Watu wa Zanzibar  (PBZ) Chake chake Pemba.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Watu wa Zanzibar  (PBZ) Nd. Juma Amour Mohammed, alipowasili kwenye ofisi za PBZ Chake chake Pemba kufungua kituo cha kutunzia na kusambazia fedha cha BOT.

No comments :

Post a Comment