Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, November 2, 2012

MPAMBANO WA CHEKA NA MJERUMANI WAFUTWA.



Francis Cheka (kulia) kwenye moja ya mapambano yake.
Mpinzanai wa bondia Francis Cheka toka Ujerumani, Benjamin Simon ambaye walikuwa wapambane tarehe 18 Decemba kugombea mkanda wa IBF wa mabara ameumia na mpambano wao umefutwa.Meneja wa Simon, bwana Robert Dolle ambaye naye ni bondia pia ameiarifu IBF kuwa walikuwa wanangoea kujua kama kweli hataweza kucheza ndio watoe taarifa hiyo. Ifuatayo ni nakala ya meseji ya email toka kwa Robert Dolle:

No comments :

Post a Comment