
Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Makore Mashaga amesema kwa muda wa Mwezi Mmoja na nusu sasa Wachezaji wa Timu ya Taifa wanafanya mazoezi bila ya kutumia vifaa vya michezo ikiwermo Glovs na vinginevyo.
Wakati huo huo, Mashaga amesema kufuatia maagizo ya Kocha Mkuu wa mchezo huo wa Ngumi, wameamua kuzigawa timu katika makundi mawili ya A na B ili waweze kufanya mazoezi kwa nafasi.
No comments :
Post a Comment