REAL Insuarance, leo imezindua rasmi bima mpya inayojulikana kama mwezi kwa mwezi. Bima hii ambayo ni yakwanza Tanzania, ipo kwa ajili ya kukidhi mahitaji muhimu ya watu binafsi, biashara na magari kwa mwezi.
NITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI:RC NYONGO
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo, amesema ataendelea
kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji ili kukuza uwekezaji na uchumi wa
Mkoa wa...
2 days ago
No comments :
Post a Comment