REAL Insuarance, leo imezindua rasmi bima mpya inayojulikana kama mwezi kwa mwezi. Bima hii ambayo ni yakwanza Tanzania, ipo kwa ajili ya kukidhi mahitaji muhimu ya watu binafsi, biashara na magari kwa mwezi.
NGORONGORO YAWAKUMBUSHA MADEREVA KUWA MAKINI NA KUZINGATIA SHERIA ZA HIFADHI
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewakumbusha wamiliki na madereva wa
magari ya utalii kuwa makini , kuhakikisha magari yao yapo salama na
kuzingatia ...
4 days ago
No comments :
Post a Comment