
WADAU WAKIPOZI KWA PICHA YA PICHA YA PAMOJA

Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii Nchini Bi.Agnes Mziray wa (pili kulia) na Mkurugenzi wa utafiti na mafunzo kutoka wizara ya Maliasili na Utalii Bw.Ibrahim Mussa wa tatu (kulia) pamoja na wadau wa sekta ya utalii wakitembelea jengo linaloendelea kujengwa la chuo hicho
lililopo makutano ya mtaa wa Shaban Robert na Samora Dar es Salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)


Fundi akiwaelekeza wadau wa Utalii

Abderrazak Sedouga Mtaalamu wa Sekta ya utalii akitoa maelezo kwa wadau

Mafundi wakiendelea na ujenzi katika jengo la chuo cha Taifa cha Utalii lililopo makutano ya mtaa wa Samora na Shaban Robert Dar es salaam jana kushoto ni Chales Joel na Hamisi Pambe.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments :
Post a Comment