Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani cha Radio Times FM Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mahugira Madega amesema sababu kubwa za kurudishwa nyuma kwa uchaguzi huokufanyika may mwakani ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwakani hivyo wameona bora warudishe nyuma uchaguzi wa Yanga kwa maslahi ya Taifa.
MTANZANIA AULA M4FOFA
-
Mtanzania ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Shirika la The Movement for
the Federation of East Africa (M4FOEA)
Shirika hili ni Muunganiko wa nchinan...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment