Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani cha Radio Times FM Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mahugira Madega amesema sababu kubwa za kurudishwa nyuma kwa uchaguzi huokufanyika may mwakani ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwakani hivyo wameona bora warudishe nyuma uchaguzi wa Yanga kwa maslahi ya Taifa.
INDIA YAELEZWA BUSTANI YA EDEN INAPATIKANA NGORONGORO
-
India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri
ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva
wa...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment