
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times fm Katibu mkuu wa chama hicho Simon Maganga amesema wanashindwa kuandaa mashindano kutokana na kukosa fedha, na wakati mwingine kushindwa kupelekea hata mshiriki katika masdhindano ya Kimataifa yanayofanyika Nje ya Nchi.
Maganga ameongeza kuwa anatoa nafasi kwa watu wengine kugombea nafasi za kukiongoza chama hicho kwani tangu waanzishe hakuna uchaguzi wowote uliofanyika wa kuchagua Viongozi na anaamini wapo watu wenye uwezo zaidi yake.
No comments :
Post a Comment