Hii ilikuwa siku ambayo Argentina ilifanikiwa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia mwakani Afrika Kusini, sasa hawa ni mashabiki wakishangilia, mimi nilistaajabu nikasema si vibaya nikawauliza wadau, jamani huku ni kushangilia gani?
NGORONGORO NI NYUMBANI KWA KILA BINADAMU - KAMISHNA BADRU.
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw.
Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha
shindano la ...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment