Hii ilikuwa siku ambayo Argentina ilifanikiwa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia mwakani Afrika Kusini, sasa hawa ni mashabiki wakishangilia, mimi nilistaajabu nikasema si vibaya nikawauliza wadau, jamani huku ni kushangilia gani?
MTANZANIA AULA M4FOFA
-
Mtanzania ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Shirika la The Movement for
the Federation of East Africa (M4FOEA)
Shirika hili ni Muunganiko wa nchinan...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment