Hii ilikuwa siku ambayo Argentina ilifanikiwa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia mwakani Afrika Kusini, sasa hawa ni mashabiki wakishangilia, mimi nilistaajabu nikasema si vibaya nikawauliza wadau, jamani huku ni kushangilia gani?
WANAHABARI WAHIMIZWA KUJIUNGA NA NSSF HIFADHI SCHEME
-
Mwanahabari Mkongwe Irene Mark akichangia jambo katika mafunzo hayo ya
siku moja.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi Tamali Vullu akichangia hoja.
Shirik...
1 day ago
No comments :
Post a Comment