Goli hilo la dhahabu lilipatikana katika dakika ya 24 ikiwa ni goli la kujifunga kufuatia mpira wa kona uliyopigwa na Hillary Echesa na kumgonga Henry Morris katika kipindi cha kwanza.
Hata hivyo klabu ya Simba imeondoka muda mchache baada ya kumalizika kwa ndege kurejea visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo dhidi ya Yanga hapo Oktoba 31, mchezo utakaochezwa uwanja wa Uhuru.
Simba sasa imefikisha pointi 27 ikiwa ndiyo inaongoza katika ligi kuu Tanzania Bara, ikifuatiwa na Mtibwa yenye Pointi 18.
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA UWANJANI
No comments :
Post a Comment