Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
NGORONGORO YAWAKUMBUSHA MADEREVA KUWA MAKINI NA KUZINGATIA SHERIA ZA HIFADHI
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewakumbusha wamiliki na madereva wa
magari ya utalii kuwa makini , kuhakikisha magari yao yapo salama na
kuzingatia ...
4 days ago
No comments :
Post a Comment