Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
KUMBE KAMISHNA BADRU YUPO FITI KINOMA
-
Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Abdul-Razaq
Badru ameongoza mbio za Fame Marathon zilizofanyika leo tarehe 14 Juni,
2026...
20 hours ago
No comments :
Post a Comment