Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment