Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
TBN WAIPONGEZA BMH KUTIMIZA MIAKA KUMI TANGU KUANZISHWA KWAKE
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Profesa Abel
Makubi akizungumza na wahariri, pamoja na watendaji kutoka Tanzania
Bloggers Netw...
2 days ago
No comments :
Post a Comment