MTANZANIA AULA M4FOFA
-
Mtanzania ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Shirika la The Movement for
the Federation of East Africa (M4FOEA)
Shirika hili ni Muunganiko wa nchinan...
16 hours ago
Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu
ReplyDeletenilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale
Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha
mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa