WANAHABARI WAHIMIZWA KUJIUNGA NA NSSF HIFADHI SCHEME
-
Mwanahabari Mkongwe Irene Mark akichangia jambo katika mafunzo hayo ya
siku moja.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi Tamali Vullu akichangia hoja.
Shirik...
1 day ago
Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu
ReplyDeletenilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale
Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha
mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa