TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
1 day ago
Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu
ReplyDeletenilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale
Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha
mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa