RC KUNENGE AWASILI MKOANI SONGWE
-
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Abubakar Mussa Kunenge, amewasili rasmi
Mkoani Songwe leo, tarehe 03 Septemba 2026, kufuatia uhamisho wake
uliofanywa na R...
2 days ago
Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu
ReplyDeletenilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale
Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha
mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa