
Akizungumza na kipindi cha michezo na Osward amesema Maugo bado hajui mchezo ila kazi yake ni kuongea tu na vyombo vya habari hivyo yeye ni mwalim wa kurekebisha tabia yake ya kutamba kila kukicha.
Amesema Bondia Maugo anajiona anaweza kumbe awezi na anapopigwa anadai apigwi kwa kuwa wanamaliza naye mchezo na kama atakutana naye atamsambaratisha mapema katika raundi za mwanzo za mchezo.
Hadi hii leo mabondia zaidi ya watatu wanamtaka Bondia Mada Maugo ili wamuonyeshe mchezo katika mabondia hao ni pamoja na Franciss Cheka, Karama Nyarawila na Maneno Osward.
No comments :
Post a Comment