Hayo yamesemwa na Msemaji wa Simba Cliford Ndimbo baada ya kupata taarifa kutoka Yanga kuhusu kufungiwa kwa mchezaji Moses Odhiambo na Amiri Maftah kumesababishwa na Simba.
Ndimbo amesema Ligi Kuu ya Mwaka huu imeendeshwa vizuri na makosa ambayo yanafanyika katika michezo mbali mbali inafanyiwa kazi na kutolewa maamuzi, hivyo amepongeza Shirikisho la kandanda Tanzania kwa kazi nzuri waliyoifanya katika Ligi inayoendelea.
Somba hadi sasa imejikusanyia jumla ya pointi 24 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.
No comments :
Post a Comment