Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald,akiwapungia mkono wananchi wa jiji la Mwanza walipompokea leo jijini humo, aliyesimama kushoto ni mmoja wa waandaji wa Vodacom Miss Mwanza Anita Zimbire. Miriam anatarajiwa kufanyiwa sherehe kubwa kesho jioni jijini Mwanza katika kumkaribisha rasmi ambapo mgeni wa heshima atakuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro.
WANAHABARI WAHIMIZWA KUJIUNGA NA NSSF HIFADHI SCHEME
-
Mwanahabari Mkongwe Irene Mark akichangia jambo katika mafunzo hayo ya
siku moja.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi Tamali Vullu akichangia hoja.
Shirik...
1 day ago
No comments :
Post a Comment