Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald,akiwapungia mkono wananchi wa jiji la Mwanza walipompokea leo jijini humo, aliyesimama kushoto ni mmoja wa waandaji wa Vodacom Miss Mwanza Anita Zimbire. Miriam anatarajiwa kufanyiwa sherehe kubwa kesho jioni jijini Mwanza katika kumkaribisha rasmi ambapo mgeni wa heshima atakuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro.
TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment