Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald,akiwapungia mkono wananchi wa jiji la Mwanza walipompokea leo jijini humo, aliyesimama kushoto ni mmoja wa waandaji wa Vodacom Miss Mwanza Anita Zimbire. Miriam anatarajiwa kufanyiwa sherehe kubwa kesho jioni jijini Mwanza katika kumkaribisha rasmi ambapo mgeni wa heshima atakuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro.
TBN WAIPONGEZA BMH KUTIMIZA MIAKA KUMI TANGU KUANZISHWA KWAKE
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Profesa Abel
Makubi akizungumza na wahariri, pamoja na watendaji kutoka Tanzania
Bloggers Netw...
2 days ago
No comments :
Post a Comment