Waandaaji wa michuano hiyo Extreme Sports wamekutanisha timu kutoka Majimbo 8 zinazokutana jijini Nairobi wakiwa na nia ya kutambulisha na kukuza vipaji na kupandisha hali ya soka majimboni mwao.
Timu zitakazoibuka washindi katika kila eneo wa pili ataondoka na Elfu 60 shilingi ya Kenya na watatu ataondoka na Elfu 15 shilingi ya Kenya .
Waandaaji hao wamepokea cheki ya Ufadhili kutoka Moto Gari, Cellz Are Us na Lock 7 kampuni za mawasiliano shilingi za Kenya Laki 7 huku extreme sports ambao ni waandaaji wamesema kuwa wataeneza michuano hiyo katika sehemu nyingine za Nchi ya Kenya.
Michuano hiyo inayoibua vipaji mbali mbali imeanza kwa ju8mla ya timu 78 inatarajiwa kufikia fainali February mwakani.
No comments :
Post a Comment