Akitaja matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari ambao ndio waliopiga kura hizo Katibu Mkuu wa TASWA Kigoba Mgaya amesema John Bocco ameibika kidedea kati ya wagombea watatu waliochaguliwa na Waandishi ambapo ni Kocha Mkuu wa Timu ya Simba Patrick Phiri na Mwanariadha Mary Naali.
Wakati huohuo Mgaya ameongeza kuwa Tamasha la Waandishi wa Habari ambalo lilikuwa lifanyike Novemba moja mwaka kuu kuwa watatangaza utaratibu mzima itakavyokuwa hapo kesho kutwa.
No comments :
Post a Comment