Kipigo hicho kikali kimeashiria timu ya Simba kuwa vitani Zaidi na kuwatumia ujumbe Dar es Salaam Young African kwamba wakae sawa watakapokutana nao.
Akielezea hali ya mchezo msemaji wa Simba Cliford Ndimbo amesema kuwa mchezo ulikuwa mzuri na ushindi huo walisitahili kupata, kutokana na mchezo mzuri walionyesha uwanjani wachezaji waKlabu ya Simba sasa inaongoza ligi ikiwa inajumla ya Pointi 24 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.
No comments :
Post a Comment