
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Tff Afisa habari nwa Shirikisho hilo Florian Kaijage, amesema baada ya kupata mwaliko huo kikosi cha Taifa Stars kitatangazwa Jumanne Ijayo kujiandaa na mpambano huo, ukuzingatia timu hiyo ni Mabingwa wa Afrika mara mbili.
Kaijage ameongeza kuwa kuwepo kwa mechi ya Kimataifa ya Kirafiki baadhi ya michezo ya Ligi kuu itasogezwa mbele kutokana na wachezaji kuchelewa kurudi katika timu zao.
No comments :
Post a Comment