Picha
ya pamoja Washiriki wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi
(Administration and Management) iliyohusisha wadau mbalimbali wa soka la
Tanzania wakiwamo Makatibu wa Vyama vya Soka na Uongozi wa TFF. Kozi
hiyo inafanyika kwenye Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam
kuanzia Agosti 6 hadi 11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ndio
mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na klabu za kongwe za Simba na
Yanga.
DKT.MPANGO AWASILI JIJINI ABUJA ,NIGERIA
-
Watanzania mbalimbali waishio nchini Nigeria wakimpokea Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango wakati alipowasili
Abuj...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment