Picha
ya pamoja Washiriki wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi
(Administration and Management) iliyohusisha wadau mbalimbali wa soka la
Tanzania wakiwamo Makatibu wa Vyama vya Soka na Uongozi wa TFF. Kozi
hiyo inafanyika kwenye Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam
kuanzia Agosti 6 hadi 11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ndio
mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na klabu za kongwe za Simba na
Yanga.
MKOA WA PWANI WENYEJI MICHUANO YA RIADHA KITAIFA 2026
-
Mkoa wa Pwani unayo heshima ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha
Kitaifa 2026, yatakayoanza Julai 3, 2026 katika Viwanja vya Filbert Bayi,
eneo la P...
22 hours ago

No comments :
Post a Comment