| Vijana wa Klabu ya Jogging ya Barafu Magomeni wakifanya mazoezi kwenye bonanza hilo. |
|
Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Klabu
ya Jogging ya Barafu Magomeni jijini Dar es Salaam ikivutwa na Timu ya Klabu ya
Jogging ya Kawe na kuondolewa.
|
| Mbunge wa Kinondoni Iddi Azzani akishiriki mazoezi ya kukimbia ya umbali wa Kilometa nane yaliyofanywa na Klabu za Jogging jijini Dar es Salaam leo. |
| Pamoja na kuwepo kwa mvua vijana hao hawakuacha kufanya mazoezi. |
| Mvua si sababu ya kuacha mazoezi. |
|
Iddi Azzani akiongoza timuyake ya Klabu ya
Jogging ya Barafu ya Magomeni na kuibuka kidedea.
|
| Vijana wakichangamsha damu asubuhi yaleo! |
|
Katibu wa Kawe Jogging Klabu (Mdau) Razalo
Ngimba (katikati) akiwa na Refaree maarufu nchini Othmani kazi (kulia) wakati
wa mazoezi kabla ya bonanza kuanza.
|
No comments :
Post a Comment