Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia,
Hamid Ameir Ali, ambaye ni Waziri Mstaafu na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar, wakati alipofika kumjulia hali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjni
Zanzibar jana Desemba 20, 2012, alikolazwa kutokana na kusumbuliwa na maradhi
ya malaria na Kifua.
DKT. KIRUSWA ASITISHA UCHAGUZI WA MABROKA LONGIDO, AAGIZA ELIMU KWA WAPIGA
KURA KWANZA
-
*Asilimia 10 ya mapato ya sekta ya madini kuelekezwa kwenye utafiti*
*MBT kuwanufaisha wachimbaji Mundarara*
*Longido, Arusha*
Naibu Waziri wa Madini, D...
24 minutes ago

No comments :
Post a Comment