Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, December 31, 2012

TRA Tatizo nini Sheria au Mfumo?



Kwamujibu wa sheria tunazotangaziwa na mamlaka ya mapato hapa nchini mwenye bango hili hapa nae anapasa kulilipia kodi lakini je niwenye mabango wangapi kama haya wanalipa? nakama wanalipa hiyo kodi kweli inafika TRA ? Kama halipi au kodi haifiki tatizo nini Sheria au mfumo? Tushirikiane tujenge nchi! Bango hili limenaswa na kamera yetu mbele ya kituo cha Polisi cha Urafiki hii leo. Kama kungekuwa na umakini wa ukusanyaji wa kodi kutokana na vyanzo vilivyoainishwa na sheria serikali ingeweza kukusanya kodi ya karibu Tsh.Trilioni moja kwa mwezi badala ya i Tsh Billioni500 za sasa.

No comments :

Post a Comment