Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 22, 2012

WALA KIPONDO BAADA YA DILI YA UTAPELI KUSANUKA MJINI BUKOBA.


Watu wawili  Mwanaume na mwanamke wanaotuhumiwa kwa Utapeli wameambulia kichapo kikali  kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kugundulika  wanataka kumtapeli Mama mmoja kwa kutumia mbinu ya kumuonyesha DHAHABU FEKI kwa madai kwamba wao ni wageni mjini Bukoba na wanahitaji msaada wa pesa wao wakupe hiyo dhahabu ikiwa imefungashwa kwenye kifuniko angavu na kitambulisho cha udhibitisho,kama utakavyo ona pichani.
Baada ya kuchezea kipigo cha wananchi wenye hasira.
Uthibitisho wao matapeli!
Akipandishwa kwenye Gari la Polisi.
Mshirika mwenzake nae akipandishwa! Picha zote kwa Hisani ya Bukoba Wadau.

No comments :

Post a Comment