Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,
 (WAMA), Mama Salma Kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi 
rasmi wa huduma za Bima ya Afya kwa vikundi vya SACCOS vya UVIMA (Umoja 
wa vikundi vya WAMA Tawi la Majohe lililoko wilayani Ilala) na Salma 
Kikwete SACCOS kilichoko Mkuranga. Uzinduzi huo ulifanyika kwenye 
viwanja vya Mnazi Mmoja na kuhudhuriwa pia na Waziri 
wa Afya Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi (wa kwanza kushoto). Wengine 
katika picha ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Bima ya Afya Mheshimiwa 
Deogratias Ntukamazina (katikati) na kulia ni Afisa wa WAMA ndugu Tabu 
Likoko akifuatiwa na Grace Michael, Afisa Habari wa Bima ya Afya. 
 | 
No comments :
Post a Comment