Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 27, 2012

Bilal Muslim Mission yawezesha watu 90 kuweza kuona wilayani Ruangwa






 Mkuu wa wilaya ya Ruangwa,Agness Hokororo akiwasalimia baadhi ya wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wa macho bila malipo kwa udhamini wa Bilal Muslim Mission wilayani humo
 Mbunge wa Jimbo la Ruangwa ambae pia ni Naibu waziri wa Tamisemi,Kassim Majaliwa akiwa na Bi Somoe Omary alipomtembelea katika hospital ya wilaya ya Ruangwa baada ya kufanyiwa upasuaji wa macho na kuweza kuona baada ya kutoona kwa miaka 10
 Bi Somoe Omary akifurahi baada ya kufanyiwa upasuaji na kuweza kuona baada ya kutoona kwa miaka 10
 Bango la matangazo
Mbunge wa Ruangwa akiwa pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ,Reubern Mfune wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wagonjwa waliotibiwa na kuweza kuona.
Picha zote na Abdulaziz Video

No comments :

Post a Comment