Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 12, 2012

EXTRA BONGO WANAVYOENDELEA KUKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WA MUZIKI WA DANSI



 Mkurugenzi wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki, akiwaongoza wanamuziki wake kushambulia jukwaa wakati wa onyesho lao lililofanyika kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita.
 Kutoka (kulia) ni Ramadhan Masanja (Banza Stone), Rogat Hegga (Katapila) Ally Choki (Mzee wa Farasi) na Athanas, wakiimba kwa pamoja jukwaani wakati wa onyesho hilo.
 Hadija Mnoga (kushoto) akishambilia jukwaa.
 Mkaanga Chips wa Extra Bongo, Martine Kibosho, akizicharaza Drams, wakati wa onyesho hilo.
 Mpiga Gitaa la Bass, wa Extra Bongo, Oseah Bass, akiliungurumisha gitaa hilo wakati wa onyesho hilo.
 Wanenguaji wa kike wa bendi hiyo, wakishambulia jukwaa wakati wa onyesho hilo.
Wanenguaji wa kiue wa bendi hiyo wakishambulia jukwaa wakati wa onyesho hilo.

No comments :

Post a Comment