Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 13, 2012

MHADHIRI OUT AKABIDHI KWA KINANA VITABU VYA KITAALUMA VYA REJEA




 Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Dk. Hildebrand Shayo akimkabidhi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana nakala za kitabu alichotunga cha mwongozo wa stadi za namna ya kunukuu maandiko mbalimbali ya rejea kwa kazi za kitaaluma. Vitabu hivyo ambayo Kinana naye alivikabidhi kwa Mweyekiti wa Umoja wa Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania (TAHLISO)  Paul Makonda, ni kwa ajili ya kusambazwa kwenye vyuo mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam.
Kinana akimkabishi vitabu hivyo Mweyekiti wa Umoja wa Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania (TAHLISO)  Paul Makonda, kwa ajili ya kusambazwa kwenye vyuo mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam. Picha na Bashir Nkoromo

No comments :

Post a Comment