Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 13, 2012

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWABAMBA WAKAZI WA JIJI LA DAR.




Aneth Kushaba AK 47 sambasamba na Kionjo kipya cha Juma lililopita mrembo Doris (kushoto) pamoja Mary Lukas wakishambulia jukwaa Ijumaa iliyopita katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Mary Lukas (katikati) sambamba na kionjo kipya cha SKYLIGHT Band Mrembo Doris (kushoto) pamoja na Aneth Kushaba AK47 wakitoa buradani katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kila Ijumaa SKYLIGHT BAND itakuwa na watu wapya wakuimba nao jukwaani na hii yote ni kuleta raha kwa mashabiki wao.
Vijana wa SKYLIGHT BAND wakiongozwa na rappa SONY MASAMBA wakikamua jukwaani.
Joniko Flower akiporomosha mistari sambamba na SONY MASAMBA.
SKYLIGHT BAND ilipata ugeni wa heshima kabisa uliofika katika kiota cha Thai Village kuja kuona vipaji vya bendi hiyo. Ni Mh. January Makamba na maifu wake pamoja na mdau King Kif.
Aneth Kushaba AK 47 na mmoja wa fans wake Eshe Mushi katika pozi.
Mdau Maurice (wa pili kulia) akiwa na mabesti zake wakila bata na SKYLIGHT BAND.
Models katika pozi.
Blogger King Kif na Wadau.
Mdau Eric Ndalu (katikati) akiwa kwenye pozi na Wadau nambari 1 wa Bendi ya SKYLIGHT.
Mdau akisema hapo vipi, Safi sana, huku mkononi akiwa na kinywaji chake baridi.
DJ Venture ndani ya nyumba.
Mdau Paul Mashauri(kushoto) na David Kimani (kulia) wakishow love.

No comments :

Post a Comment