Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 12, 2012

waliopandi​sha bendera ya taifa mlima Kilimanjar​o wapokelewa na waziri wa maliasili na utalii




Mkurugenzi wa mamlaka ya hifadhi za taifa(TANAP)Allan Kijazi akiazungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mwenyekiti wa bodi ya utalii Tanzania(TTB)Balozi Charles Sanga akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mwenyekiti wa bodi ya Serengeti Breweries Jaji Mark Bomani akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mkuu wa mkoa wakilimanjaro Leonidas Gama akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Serengeti Breweries Steven Gannon akipokea cheti kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru peak.
Askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania ,Private Amani Kasanga akipokea cheti kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru peak.
Askari wa jeshi la wananchi wa TAnzania Luteni Kijakazi Marijebu akipokea cheti kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru peak.
Baaadhi ya washiriki wa zoezi la kupanda mlima Kilimanjaro lililoongozwa na Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi,Jenerali George Waitara.
Mbunge wa jimbo la Kohani Zanzibar Mh Amina,akiwa na washiriki wengine waliopanda mlima Kilimanjaro.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Moshi.

No comments :

Post a Comment