Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, December 24, 2012

SHEREHE ZA MAHAFALI YA 10 YA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA (TIA).




Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Jengo Jipya la Utawala la  Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Barabara ya Kilwa Dar es Salaam Desemba 22 -2012.
Wakufunzi wa Taasisi hiyo wakienda uwanjani.
Waadhiri wa Taasisi hiyo wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (katikati), akiwa mbele ya jengo hilo baada ya kulifungua rasmi. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi hiyo Profesa Isaya Jairo na Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Shah Hanzuruni.
Hongereni sana!
Kikosi cha Bendi ya Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.

Wapiga picha wakichukua matukio mbalimbali ya mahafali hayo.

No comments :

Post a Comment