Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Thursday, December 13, 2012
SHEREHE YA MIAKA 15 YA BENDI YA FM ACADEMI KUFANYIKA DESEMBA 14 JIJINI DAR ES SALAAM
Ofisa
Masoko wa Kampuni ya Tigo Bw.Alex Msigara.(kulia)Akiongea na waandishi
wa habari (hawapo pichani) leo kwenye Hotel ya Southen Sun jijini Dar es
salaam juu ya kudhamini maadhimisho ya miaka 15 ya bendi ya muziki ya
FM Academia,Sherehe hiyo itafanyika tarehe 14 Desemba mwaka huu msasani
Beach Club ,Ambapo amesema wao kama Tigo wameamua kufunga mwaka kwa
kusaidia jamii wanayoihudumia katika Nyanja zote ikiwemo ya burudani
kama sehemu ya shughuli zao za kijamii .
Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi
wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu
maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM
Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El
Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo Bw.Nasibu Mahinya.Ofisa
Masoko wa Tigo, Alex Msigara akielezea kuhusu udhamini wao katika
maadhimisho ya miaka 15 ya bendi hiyo Mwingine ni Kiongozi wa Bendi ya
FM Academia 'Wana Ngwasuma', Nyoshi El-Sadaat
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment