Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 13, 2012

SHEREHE YA MIAKA 15 YA BENDI YA FM ACADEMI KUFANYIKA DESEMBA 14 JIJINI DAR ES SALAAM




Ofisa Masoko wa Kampuni ya Tigo Bw.Alex Msigara.(kulia)Akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo kwenye Hotel ya Southen Sun jijini Dar es salaam juu ya kudhamini maadhimisho ya miaka 15 ya bendi ya muziki ya FM Academia,Sherehe hiyo itafanyika tarehe 14 Desemba mwaka huu msasani Beach Club ,Ambapo amesema wao  kama Tigo wameamua kufunga mwaka kwa kusaidia jamii wanayoihudumia katika Nyanja zote ikiwemo ya burudani kama sehemu ya shughuli zao za kijamii .
Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo  Bw.Nasibu Mahinya. Ofisa Masoko wa Tigo, Alex Msigara akielezea kuhusu udhamini wao katika maadhimisho ya miaka 15 ya bendi hiyo Mwingine ni Kiongozi wa Bendi ya FM Academia 'Wana Ngwasuma', Nyoshi El-Sadaat

No comments :

Post a Comment