Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 22, 2012

NHC YATANGAZA TAREHE YA KUANZA KUUZA NYUMBA ZA BEI POA KIBADA,KIGAMBONI DAR



 Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), David Shambwe akitangaza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, muda wa kuanza kuuza nyumba 290 za bei nafuu zinazojengwa Kibada, Kigamboni zitakazoanza kuuzwa Januari 2, mwakani. Kulia ni Meneja Masoko na Utafiti wa NHC, Itandula Gambalagi. PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Waandishi wa habari wakiwa kazini wakati wa mkutano huo uliofanyika leo NHC Kanda ya Kinondoni
 David Shambwe ( wa Pili kulia) akifafanua jambo katika mkutano huo. Kutoka kushoto ni Muungano Saguya ambaye ni Corporate Social Responsinbility Manager, Meneja wa Mkoa wa NHC Kanda ya Kinondoni, Erasto Chilambo na Meneja Masoko na Utafiti wa NHC, Itandula Gambalagi.

No comments :

Post a Comment