Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mabweni ya
Wasichana katika shule ya sekondari ya Nachingwea leo.Wengine katika
picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila,Mkuu
wa Shule ya Wasichana Lindi Bi.Rahma Zedi (Wapili kushoto),Mkurugenzi wa
wilaya ya Nachingwea,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bibi.Regina Chonjo
na Mbunge wa Jimbo Nachingwea Bwana Mathias Chikawe.Picha na Freddy
Maro
MSUVA AUNGA MKONO MPANGO WA MAFUNZO WA JAB KUELEKEA AFCON 2027
-
Na Mwandishi Wetu
Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon
Msuva, amepongeza mpango wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa H...
2 days ago
No comments :
Post a Comment