Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mabweni ya
Wasichana katika shule ya sekondari ya Nachingwea leo.Wengine katika
picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila,Mkuu
wa Shule ya Wasichana Lindi Bi.Rahma Zedi (Wapili kushoto),Mkurugenzi wa
wilaya ya Nachingwea,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bibi.Regina Chonjo
na Mbunge wa Jimbo Nachingwea Bwana Mathias Chikawe.Picha na Freddy
Maro
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
-
Waswahili husema "Dunia ni jumba la maajabu " Ngorongoro haiishiwi maajabu
, Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya eneo la
N...
21 hours ago
No comments :
Post a Comment