Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mabweni ya
Wasichana katika shule ya sekondari ya Nachingwea leo.Wengine katika
picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila,Mkuu
wa Shule ya Wasichana Lindi Bi.Rahma Zedi (Wapili kushoto),Mkurugenzi wa
wilaya ya Nachingwea,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bibi.Regina Chonjo
na Mbunge wa Jimbo Nachingwea Bwana Mathias Chikawe.Picha na Freddy
Maro
VERONICA MREMA WA TBN AANDIKA HISTORIA MKUTANO MKUU WA DUNIA WA
WAANDISHI WA SAYANSI
-
Bloga Veronica Mrema mmiliki wa M24Blog akiwa nchini Afrika Kusini .
Pretoria , Affrika Kusini
Kilele cha utambuzi wa Uandishi wa Habari za Kidijital...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment