Katibu Mkuu  wa 
Jumuiya
 na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda akiingia katika 
chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo 
pamoja na washtakiwa wenzake 49, hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa 
kutokana na mashahidi upande wa mashtaka kutofika mahakamani hapo. 
(Picha na Habari Mseto Blog)
Katibu Mkuu  wa  Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa na mshtakiwa mwenzake,  Mukadam Abdal Swalehe (kushoto)
 Baadhi ya wafuasi wa Sheikh Ponda wakiwa katika viunga vya mahakama ya Kisutu
Katibu Mkuu  wa  Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda na mshtakiwa mwenzake Mukadam Abdal Swalehe wakitoka mahakamani chini ya ulinzi wa askari magereza.
 Ulinzi uliimarishwa katika eneo la Mahakama ya Kisutu leo.
 Katibu Mkuu  wa  Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda (kulia) akiwa na washtakiwa wenzake. 
No comments :
Post a Comment