Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa TANAPA Jumapili Desemba 22, 2012 
 akikata utepe katika boma maalumu la kulea na kuhifadhi mbwa 
mwitu  kuashiria rasmi kuachiwa huru kundi la pili la wanyama hao  15 
waliokuwa wamehifadhiwa kwa miezi kadhaa kwenye boma maalumu la mradi 
huo,  lililojengwa katika eneo la Nyamuma, Magharibi mwa Hifadhi ya 
Taifa ya Serengeti, mkoani Mara. 
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa TANAPA Jumapili Desemba 22, 2012 
wakiwa nje ya  boma maalumu la kulea na kuhifadhi mbwa mwitu 
akishuhudia kuachiwa huru kundi la pili la wanyama hao  15 waliokuwa 
wamehifadhiwa kwa miezi kadhaa kwenye boma maalumu la mradi huo, 
 lililojengwa katika eneo la Nyamuma, Magharibi mwa Hifadhi ya Taifa ya 
Serengeti, mkoani Mara.
Mbwa
 mwitu wakirejea mbugani baada ya kuachiwa huru kundi la pili la wanyama
 hao  15 waliokuwa wamehifadhiwa kwa miezi kadhaa kwenye boma maalumu la
 mradi huo,  lililojengwa katika eneo la Nyamuma, Magharibi mwa Hifadhi 
ya Taifa ya Serengeti, mkoani Mara. PICHA NA IKULU



No comments :
Post a Comment