Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 19, 2012

TIGO YACHEZESHA DROO SMARTCARD WASHINDI 10 WAJIZOLEA ZAWADI IKIWEMO SAFARI YA KWENDA CHINA



 Meneja Intanet wa Tigo Titus Kafuma (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Tigo kuchagua washindi wa mwisho wa mwaka wa droo ya Smartcard na Ascend Y200 ambapo alisema droo hizo zitashuhudiwa na kuendeshwa na Bodi ya Taifa ya Bahati Nasibu na kuwa tunapoelekea msimu huu wa Sikukuu, Tigo inafurahia kuwa sehemu ya kusherehekea na washindi. Kushoto ni Mkaguzi kutoka Bodi ya Bahati Nasibu ya Taifa Bw. Humudi Abdulhusein na kulia ni Tuli Mwaikenda.
Meneja Intanet wa Tigo Titus Kafumaakiongea na wanahabari kuwaelezea juu ya zawadi zilizotolewa katika droo hizo.

No comments :

Post a Comment