Mwandishi
wa Habari za michezo Mwandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, na mchezaji wa
timu ya TASWA Fc, Julius Kihampa, akimvisha pete ya ndoa Mke wake Grace
Kingarame, ambaye pia ni Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa
(TBC), wakati wa ibada ya Ndoa yao iliyofanyika kwenye Kanisa la
Anglikana la St Albano jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
SKA 2026 KUCHOCHEA UANDISHI WA HABARI ZA MAENDELEO
-
Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na Chama cha
Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) zimeanza maandalizi ...
22 hours ago
No comments :
Post a Comment