Mwandishi
wa Habari za michezo Mwandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, na mchezaji wa
timu ya TASWA Fc, Julius Kihampa, akimvisha pete ya ndoa Mke wake Grace
Kingarame, ambaye pia ni Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa
(TBC), wakati wa ibada ya Ndoa yao iliyofanyika kwenye Kanisa la
Anglikana la St Albano jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
VERONICA MREMA WA TBN AANDIKA HISTORIA MKUTANO MKUU WA DUNIA WA
WAANDISHI WA SAYANSI
-
Bloga Veronica Mrema mmiliki wa M24Blog akiwa nchini Afrika Kusini .
Pretoria , Affrika Kusini
Kilele cha utambuzi wa Uandishi wa Habari za Kidijital...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment