Mwandishi
wa Habari za michezo Mwandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, na mchezaji wa
timu ya TASWA Fc, Julius Kihampa, akimvisha pete ya ndoa Mke wake Grace
Kingarame, ambaye pia ni Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa
(TBC), wakati wa ibada ya Ndoa yao iliyofanyika kwenye Kanisa la
Anglikana la St Albano jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
WAUMINI TAG GOBA WATAKIWA KUISHI MAISHA YASIYYO NA HOFU
-
Mchungaji Mteule wa Kanisa la Kingdom Impact Christian Centre(TAG) Goba,
Dkt. Jonathan Chales Ndanshau amewataka waumini wa Kanisa hilo waishi
katika mai...
2 days ago
No comments :
Post a Comment