Mwandishi
wa Habari za michezo Mwandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, na mchezaji wa
timu ya TASWA Fc, Julius Kihampa, akimvisha pete ya ndoa Mke wake Grace
Kingarame, ambaye pia ni Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa
(TBC), wakati wa ibada ya Ndoa yao iliyofanyika kwenye Kanisa la
Anglikana la St Albano jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
INDIA YAELEZWA BUSTANI YA EDEN INAPATIKANA NGORONGORO
-
India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri
ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva
wa...
1 day ago
No comments :
Post a Comment