Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 29, 2012

WENGI WAJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO KWA HIARI-KINONDONI



 Mtaalamu wa kutoka damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Judith Chale akimtoa damu mkazi wa Kinondoni, Zawadi Bakari wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa hiari na uchangiaji wa damu lililoandaliwa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya kuchangia damu Tanzania (BLODAT) na kufanyika leo kwenye viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam
 Mtaalamu wa kutoka damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Judith Chale akimtoa damu mkazi wa Kinondoni, Sukwa Mohamedi wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa hiari na uchangiaji wa damu lililoandaliwa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya kuchangia damu Tanzania (BLODAT) na kufanyika leo kwenye viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment