Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 22, 2012

TAIFA STARS YACHAPA 1-0 CHIPOLOPOLO YA ZAMBIA.


 Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars, Mrisho Ngasa na Amri Kiemba wakishangilia bao la kwanza na laushindi lililofungwa na Mrisho Ngasa dakika ya 45 kipindi cha kwanza katika Uwanja wa Taifa Daes Salaam
 Wachezaji wa timu ya Taifa Stars wakishangilia kwa staili mwanamuziki wa kizazi kipya Diamond
 Wakifurahia bao la kwanza lililofungwa na Mrisho Ngasa
 Wachezaji wa timu Taifa Stars wakitoka mapumziko kifua mbele wakiongoza bao 1 na la ushindi wakati wa mechi dhidi ya Chipolopolo ya Zambia
Baadhi ya Umati wa Watu wakishuhudia mechi dhidi ya Taifa Stars na Chipolopolo ya Zambia ambapo Taifa Stars wameshinda 1-0.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wakimpongezi mfungaji wa bao la pekee Mrisho Ngasa, kwenye mchezo wa kirafiki kati ya ya timu hiyo na timu ya taifa ya Zambia (Chipolopolo) kwenye mchezo uliomalizika hivi punde.
Mchezaji Kiungo wa Timu ya Taifa ya Tanzania Mwinyi Kazimoto (Fundi) akimtoka beki wa Timu ya Taifa ya Zambia kabla ya kumpa pasi Mrisho Ngasa na kusukumiza shuti kali kwenye lango la timu hiyo na kuipatia taifa Stars na kuibuka washindi kwa goli hilo.

No comments :

Post a Comment