Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 9, 2012

CHAMA CHA NGUMI ZA KULIPWA NCHINI CHATAMBULIKA KIMATAIFA


CHAMA
CHA NGUMI ZA KULIPWA NCHINI CHATAMBULIKA
KIMAT
AIFA

Na
Mwandishi
Wetu

SHIRIKISHO la Dunia la ngumi za kulipwa (WPBF) limempa
hati ya kuwa
mwakilishi wa Shirikisho hilo nchini Rais wa Shirikisho la ngumi
za kulipwa
nchini (TPBO).
Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari kwa
mtandao na Rais
wa TPBO Yassin Abdala 'Ustadhi' ilisema kuwa Shirikisho hilo
lenye makazi yake
nchini Marekani limempa hati hiyo ambayo itamruhusu kutoa
taarifa muhimu za
jinsi mabondia wa ngumi za kulipwa wa Tanzania
wanavyoingizwa katika viwango vya
Shirikisho hilo.
Alisema, sambamba na
hilo pia litawasaidia mabondia
watanzania kuweza kupata nafasi ya kugombea
mikanda ya Shirikisho hilo.
"Ni
jambo zuri kwa mabondia watanzania kwani
watakuwa wanajua kila kitu kuhusu
viwango vyao kuingizwa katika Shirikisho
hilo lakini pia kupata nafasi ya
kuwania mikanda hiyo ambayo itamsaidi
kutambulika Ulimwenguni,"
alisema.
Sambamba na hilo pia Ustadhi
amempongeza Mpiga picha wa Kampuni ya
Business Times Limited inayochapisha
magazeti ya Majira, Spoti Starehe na
Business time,pamoja na Jarida la
Maisha, ambaye pia ni Kocha wa Kimataifa wa
Mchezo wa Masumbwi, Rajabu
Mhamila 'Super D' kwa mchango wake katika kuhakikisha
anaukuza mchezo wa
ngumi bila kubagua.
Alisema, Super D amekuwa ni msaada
mkubwa sana katika
kila maandalizi ya mchezo kwa kuwasaidia waandaaji ambao
hupungukwa vifaa
vinavyohusu mchezo hususan glovus na vifaa vingine.
Sambamba
na hilo
amekuwa akifuatilia mapambano ya ngumi popote pale hata mkoani ,na
huku
akiyaripoti yote yanayofanyika huko nje ya Dar es salaam kwa galama
zake
mwenyewe.
"TPBO tunayo macho yenye kuona na kuthamini michango ya
watu wa
aina yako hivyo tunakuahidi kukupatia cheti cha kuthamini mchango
wako katika
tasnia hii ya mchezo wa ngumi katika wakati muafaka,"
alisema.
Aliongeza
kuwa yapo mengi ya kumshukuru kwani pia ameakuwa
akiwasaidia mabondia wa mikoani
kwa kuwauzia vifaa vya mchezo kwa bei ndogo
kuliko hata ile ya madukani , hivyo
kuwawezesha mabondia hao kuwa na uwezo wa
kumiliki vifaa vya ngumi kiurahisi

No comments :

Post a Comment