Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, March 31, 2012

WANANCHI WA ZILIZOKUA KOTA ZA BANDARI GEREZANI WAMEVAMIWA NA KUBOMOLEWA NYUMBA ZAO KINYUME NA SHERIA


Wakili wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT. Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kua mahakama iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hawo
Wakili wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT. Sengondo Mvuni akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuhusu kufungua kesi ileile mahakamani
Baadhi ya wakazi waliokuwa kota za Bandari Gerezani wakisikiliza mada mbalimbali wakati wa mkutano wao leo
Mwenyekiti wa wakazi wa Kota za Bandari Bi Fatma Msindi akizungumza kwenye mkutano huo leo
Mwenekiti akiongea Bi, Fatma Msindi
Wakili wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT. Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kua mahakama iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hawo


wananchi wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa kuusu kesi yao ya msingi leo
Wakili wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na Trc, DKT. Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kua mahakama iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hawo

No comments :

Post a Comment