Beki wa timu ya Simba ya Dar es Salaam, Amir Maftah, akimdhibiti mshambuliaji wa ES Setif ya Algeria wakati wa mchezo wa kombe la Shirikisho uliochezwa leo kwenye uwanja wa Taifa. Katika mchezo huo Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0.
DKT.MPANGO AWASILI JIJINI ABUJA ,NIGERIA
-
Watanzania mbalimbali waishio nchini Nigeria wakimpokea Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango wakati alipowasili
Abuj...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment