Beki wa timu ya Simba ya Dar es Salaam, Amir Maftah, akimdhibiti mshambuliaji wa ES Setif ya Algeria wakati wa mchezo wa kombe la Shirikisho uliochezwa leo kwenye uwanja wa Taifa. Katika mchezo huo Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0.
AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA
-
📌 *Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote
Kagera kupata umeme wa Gridi*
📌 *Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini U...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment