Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 16, 2012

Ziara ya Waziri Samia Suluhu huko Pemba leo

waziri wa Nchi Ofisi ya Makomu wa Rais akivuka Mtaro
wakati wa ukaguzi wa Ufugaji wa Samaki unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya
Jamii TASAF huko Chambani katika Ushirika wa kwa Dawa Kichimba Chambani kisiwani
Pemba.
Bi Amina Khamis muuza nyanya Soko la mbogamboga
liliopo Furaha Wawi Akimpa Maelezo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Mungano Samia Suluhu Hasani kuhusu hali ya biashara katika soko hilo lilojegwa
kwa ufadhili wa Tasaf Macemp.(Picha na Ali
Meja)

No comments :

Post a Comment