Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 11, 2012

YALIYOJIRI KWENYE SHOW YA DJ CLEO @KIJITONYAMA POSTAL GROUND



Mtangazaji kutoka Times FM Sandrah akizungumza na wakazi wa jiji la Dar waliojitokeza kuja kumtizama msanii na dj mkali kutoka South Africa DJ CLEO katika kiwanja cha Kijitonyama Postal Ground

Dogo Janja akiwa na Madee kwa steji

DJ Cleo akiwatizama mashabiki wake wa Tanzania

Baadhi ya wakazi wa jiji waliojitokeza kwenye show hiyo

Sandrah & Aloy kutoka Times FM

Dj D Ommy akifanya mambo yake kwa steji pia anapatikana Pro 24 DJs

Ommy Dimpozi kwa steji

TMK Wanaume Family kwa steji

Dogo Janjaro akizungumza na mashabiki wake

No comments :

Post a Comment