Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 14, 2012

TABORA MARATHON 2012 YAFANA

Baadhi ya pikipiki zilizotumika katika mbio za
Tabora Marathon hapa kabla ya mbio kuanza. (Picha Zote kwa hisani ya Kamati ya
Tabora Marathon 2012).
Pichani kulia ni Mshauri wa Ufundi wa Mbio za
Tabora Marathon ambaye pia ni Mhariri wa Habari za Michezo Gazeti la Tanzania
Daima Tulo Chambo na kushoto ni Meneja Masoko Kampuni ya Kishen Enterprizes pia
wasambazaji wa pikipiki za aina ya TOYO Seraphine Baraka .
Washindi wa Mbio za Tabora Marathon wakiwa
katika picha ya pamoja hapa wako katika eneo linalofahamika kama Community
Centre sehemu iliyomtoa machozi Rais wa Kwanza wa Tanzania wakati akidai uhuru
kutoka kwa wakoloni ambapo pia pamejengwa Sanamu ya kumbukumbu ya Hayati Baba wa
Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora
Fatma Mwassa akizungumza kabla ya kutoa zawadi

No comments :

Post a Comment