Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 26, 2012

TBL YAWAZAWADIA MAWAKALA WAO WAKE



Meneja Usimamizi wa Kitengo cha Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Aloyce Qande (kushoto), akimkabidhi tuzo mshindi wa tatu wa uuzaji bora wa vinywaji vya kampuni hiyo Kanda ya Kusini,Robinson Matemba wa Turiani. Morogoro.katika hafla ya kuwazawadia mawakala bora iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam.Wa pili kushoto ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa TBL Kanda ya Kusini, James Bokela na Reginald Mosha ambaye ni Meneja Huduma za Biashara wa TBL.
Meneja Usimamizi wa Kitengo cha Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Aloyce Qande (kushoto), akimkabidhi tuzo mshindi wa kwanza wa uuzaji bora wa vinywaji vya kampuni hiyo Kanda ya Kusini, Mkurugenzi wa Massawe Grocery ya Kibaha, Jacob Massawe, katika hafla ya kuwazawadia mawakala bora iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam.
Meneja Usimamizi wa Kitengo cha Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Aloyce Qande (kushoto), akimkabidhi tuzo mshindi wa kwanza wa uuzaji bora wa vinywaji vya kampuni hiyo Kanda ya Kusini, Mkurugenzi wa Massawe Grocery ya Kibaha, Jacob Massawe, katika hafla ya kuwazawadia mawakala bora iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam.
Mawakala wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), walioshinda kwa kuwa wauzaji bora wa vinywaji vya kampuni hiyo kwa Kanda ya Kusini, wakinyanyua juu tuzo walizozawadiwa katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam. Kutoka kulia ni mshindi wa kwanza,Mkurugenzi wa Massawe Grocery ya Kibaha, Jacob Massawe, Mshindi wa pili, Mkurugenzi wa Wazo Road Haulege ya Tegeta, Valency Msacky na Robinson Matemba wa Turiani. Morogoro.

No comments :

Post a Comment