Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 19, 2012

TIGO YAFADHIRI KAMBI YA CLINIC YA SIKU MOJA KWA WAGONJWA WA BAGAMOYO


Mratibu wa Matukio na Promosheni wa Kampuni ya Tigo, Edward Shila (kushoto) akimkabidhi chandarua chenye dawa walivyokuwa wakitoa kwa mmoja wa wangonjwa, Abdalah Mussa baada ya kupatiwa matibabu jana
Mratibu wa Matukio na Promosheni wa Kampuni ya Tigo, Edward Shila (kushoto) akimkabidhi chandarua chenye dawa walivyokuwa wakitoa kwa mmoja wa wangonjwa, Abdalah Mussa baada ya kupatiwa matibabu jana
Baadhi ya washiriki katika kusaidia wagojwa wakiwa katika nafasi yao ya kugawa vinywaji kwa ajili ya wagojwa waliojitokeza jana
Muuguzi wa Afya akitoa maelekezo ya jinsi ya kuepukana na ugojwa wa kisukari alisema moja ya njia ya kuepukana na ugojwa huo ni kufanya mazoezi
mmoja ya wagojwa bi , Kuruthumu Kapufi akipatiwa vipimo na mwalimu muuguzi Twitike Mwamundela wakati wa clinic ya siku moja ya kupima Afya iliyozaminiwa na Kampuni ya tigo Bagamoyo Mkoa wa Pwani

No comments :

Post a Comment