Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 15, 2012

JK AFUNGUA WARSHA YA MADAKTARI KINYWA/MENO NCHINI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati
Rais wa chama cha madaktari wa Kinywa na Meno Nchini Dk. Rachel Mhavile
akionesha kadi ya uanachama wa heshima ya chama hicho ambayo Rais Kikwete
akitunukiwa wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kujadili jinsi ya kuyaweka masuala
ya kinywa na meno katika hatua ya awali ya kupata huduma. Jumla wa wajumbe
kutoka nchi 18 wanahudhuria mkutano huo wa siku tatu unaofanyika
hoteli
ya Courtyard jijini Dar es Salaam.
PICHA
NA IKULU

No comments :

Post a Comment